Saturday 24 May 2014

KARIBU MAKUTANO BLOGU

Karibu kwenye makutano blogu, blogu ya watu waliyodhamiria kwa dhati kuungana na kuwa mme na mke. Ili kuendelea kuwa mwanachama wa Blogo hii, mashart na vigezo ni sharti kuzingatiwa kama yalivyoainishwa kwa kila mwanachama wa Blogu hii.

Usipate shida mme/mke uliopangiwa na Mungu yupo na waweza kumpata kupitia Blogu hii.
Karibu sana.

No comments:

Post a Comment